Editor's Review

  • Diamond Platnumz spoke highly of the mother of his two kids Tiffah and Nillan
  • He also explained why he feels proud to have sired the two babies with Zari

Tanzanian singer Diamond Platnumz spoke highly of the mother of his children, businesswoman Zari Hassan.

In an interview with Wasafi FM, Diamond said that he feels honoured to have sired kids with Zari, describing her as a very good and mature mother.

“Miongoni mwa wazazi wenzangu ambao nawasifia kwa kujua kuishi kama Wazazi ni Zari. Na namheshimu sana. Na pengine sijawahi kumwambia hivyo lakini yuko professional sana, na mwenyewe nafarijika na kumshukuru mweyezi Mungu kwa kuweza Kuzaa naye… Ni mwanamke ambaye hata mimi mwenyewe namshukuru mungu kuzaa naye na nafarijika kuona watoto wangu wana mama kama yule” Diamond said.

The Wasafi label boss also affirmed Zari's earlier explanation that the two had agreed to co-parent and are not involved in a romantic relationship.

“…Mimi na yeye hatuna mahusiano ya kimapenzi, tuna mahusiano ya kulea watoto. Na watoto nilikuwa sijawaona takribani miaka miwili, lakini tulimaliza matatizo yetu, akaja na watoto hapa akakaa almost wiki Nzima, Tukakaa naye vizuri na tulikuwa tunalea watoto. Yeye sasa hivi ana mahusiano yake … na mimi niko single kwa hiyo watu wa mtandao wakiongea huwezi kuwakatalia” he stated.