Editor's Review

"Ruto ananijua mimi. Kwa hivyo nikiona yeye anapiga kelele mimi ninaangalia tu najua atapoa." 

ODM Leader Raila Odinga has asked President William Ruto not to burden Kenyans with extra taxes saying it is no longer tenable.

Speaking during the burial of Mama Mukami Kimathi, the wife to freedom fighter Dedan Kimathi, Raila said the truth must be told to power at the earliest time possible.

Raila said as the opposition, they are keen on ensuring the needs of Kenyans are prioritised.

"We must speak truth to power. Hapana ogopa, unaogopa nini? Sisi kama wana Azimio si wendawazimu. Tunaweza kuelewana. Huyu bwana Ruto nimefanya na yeye kazi kwa muda mrefu. Yeye ananijua mimi. Kwa hivyo nikiona yeye anapiga kelele mimi ninaangalia tu najua atapoa," Raila said.


"Sisi tumetuma watu wetu wa jopo kazi na yeye ametuma watu wake wakae chini waelewane. Na wakielewana sawa sawa. Lakini wakati mwingine mimi naongea ukweli; gharama ya maisha imepanda, hapana leta ushuru zaidi. Hapana ongeza mzigo ingine juu yake; punda amechoka."

Raila was speaking at the funeral attended by President Ruto, deputy president Rigathi Gachagua, and Prime CS Musalia Mudavadi.