Editor's Review

"Ni vile tu nilikua na heshima, ningemchapa kofi," Ruto is heard saying. 

Suna East MP Junet Mohamed on Sunday, July 3, played a secret recording audio recording of Deputy President William Ruto admitting that he almost slapped President Uhuru Kenyatta. 

The audio recording reveals the tense moments after the 2017 election in which the supreme court nullified Kenyatta and Ruto's win. 

In the recording shared by Junet, Ruto is heard saying that Kenyatta almost gave up on the presidency after the court nullified their win. 

{Suna East MP Junet Mohamed}

According to Ruto, the President wanted to go back to Ichaweri following the nullification in which the Supreme court ordered a repeat election. 

"Tulienda kufanya uchaguzi tukashinda. Huyu mtu akaenda pale akakoroga koroga ikasemekana turudie uchaguzi. Watu wengi walikua wanadhani wakisema turudie uchaguzi tutawachana na Uhuru. Sijui kwanini walikua wanafikiria hivyo? Lakini mimi nilitoka hapa kwa ofisi. Nilikua nimeambia Uhuru chunga sana hapa kuna kingereza mingi akaniambia amechunga kabisa. 

"Mimi nikatoka hapa kwa ofisi nikaenda Stata House. Sitaki kusema alikua anafanya nini kwa sababu sisi ni wazee. Ndo huyo ooh, hii maneno, sijui nini, mimi sitaki, mimi nataka kuenda Ichaweri. Wewe mimi sitaki wacha tuwachane na hii kitu. Mimi nikamwangalia, nikamwambia ‘wewe’! Ni vile tu nilikua na heshima, ningemchapa kofi. Ati sisi tuache?," Ruto is heard saying. 

Here is the clip;